Habari
RC Makonda aagiza wakamatwe viongozi wa mpira wa kikapu Dar kisa? (Video)
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amepokea taarifa kwamba msaada ambao aliutoa mwaka 2017 kwa viongozi wa Chama Cha Mpira wa Kikapu mkoani humo haujafika sehemu husika. Mkuu huyo alitoa jenereta pamoja mabati kwaajili ya uwanja wa mpira wa kikabu Indoor.