Habari

RC Makonda afunguka ujio wa Rais Kagame (+Video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa Demokrasia ya kweli aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni jambo ambalo linawavutia wageni kuja Tanzania akiwepo Rais wa Rwanda, Paul Kagame anayetarajiwa kuwasili nchini Jumapili hii.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents