Habari
RC Makonda atoa ofa ya nguo kwa wakazi Dar ili washerekee vizuri disko la kuikabili corona (Video)
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ametangaza ofa katika maduka zaidi ya nane ya nguo kwaajili ya mtoko wa siku ya Jumapili.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ametangaza ofa katika maduka zaidi ya nane ya nguo kwaajili ya mtoko wa siku ya Jumapili.