Siasa

RC wa Mbeya Chalamila abadilisha gia angani, Sigombei tena maneno ya Rais yamenikolea

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema kuwa, kwa sasa ameahirisha nia yake ya kugombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini, kwa madai ya kwamba maneno ya Rais Magufuli yamemkolea. itakuwa ni utovu wa nidhamu yeye kukiuka kauli ya Rais John Magufuli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents