Redd’s Miss Mwanza 2013/14 apatikana, ni Lucy Charles (Picha)
Usiku wa Ijumaa (June 14) shindano la kumtamfuta mrembo wa jiji la Mwanza katika Redd’s Miss Mwanza 2013 lilifanyika jijini Mwanza, na mrembo Lucy Charles mwanachuo wa Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT) ndiye aliyevikwa taji hilo.
Lucy Charles katikati, kushoto ni mshindi wa pili Judith na kulia ni Susan Ikombe mshindi wa tatu
Washindi hao watawakilisha mkoa wa mwanza katika shindano la kanda mwishoni mwa mwezi huu.
Upande wa Burudani bibie Snura wa ‘Majanga’, Chegge na YP ni baadhi ya wasanii waliotoa burudani katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na jumla ya warembo 13 waliokuwa wakiwania taji hilo.
Lucy Charles vazi la ufukweni
Victoria Newtone vazi la ufukweni
Suzan Ikombe Vazi la ubunifu
Angel-Lawrence-vazi-la-Usiku
Hajra-Mohammed-Vazi-la-Ubunifu
Edna-Selestine-Vazi-la-Usiku
Chegge-na-YP-wakipagawisha-mashabiki
Snura-akipagawisha-mashabiki-wake
Mashidonge-akicheza-na-Moto