Mahojiano

Mavoko afunguka kuruhusiwa kuzitumia nyimbo zake na lebo ya Diamond WCB, akaunti ya Youtube ya kwangu (+Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Rich mavoko amefunguka kuhusu kuzitumia ngoma alizofanya akiwa bado yupo chini ya Diamond Platnumzkatika lebo ya WCB, Rich ameweka wazi kuhusu kuzitumia nyimbo hizo na kumiliki akaunti mbili za Youtube yaani ile ya Rich Mavoko na Bilionea Kid.

Msikilize Rich Mavoko kwa ufasa.

https://www.youtube.com/watch?v=DBLsyU33Av4&t=1s

https://www.youtube.com/watch?v=fnws33QWjq4&t=13s

https://www.youtube.com/watch?v=MJ0hUHUCg98

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents