Burudani
Rich Mavoko awashukuru BASATA kwa kupokea malalamiko yake na WCB ‘hata iweje nyie ndio walezi wa sanaa yetu’
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Rich Mavoko amejitokeza kwa mara ya kwanza kuelezea sakata la kukutana na BASATA kuwasilisha mkataba wake aliosaini na WCB aliodai kuwa unamkandamiza.
Mavoko kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kuwa anashukuru kukutana na BASATA na kupata elimu ya kutosha huku akiwamwagia sifa kuwa hao ndio maana halisi ya walezi wa sanaa yetu nchini Tanzania.
https://www.instagram.com/p/BmRCQzVAj05/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1nyyoq0ca4fj0
Leo Alhamisi Agosti 9, 2018 Rich Mavoko amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza ambapo amepeleka mkataba wake na WCB akidai uangaliwe upya kwani umekuwa ni wa unyonyaji.
ok
Hanajipya kaokop kumezw na mbosso na lava lava kaon bola akimbie anaanz kutapa tapa
Unayumba Broo Huljui Game
Namufahamu san kulik unavyozani
Uyu ni mwendawazimu
We sepa tu
pale WCB alikuw anaimb ovyo mpk kapotez mashabiki tulozoea kusikia mziki mzur toka kwKe
Mbwaa wewe ondoka tu atukutaki Tena ume ondoka wcb basi ndo mwisho WA muziki wako Uta enda kuzurura mtaani kama q boy Yan rich Mavoko siku pendi Tena kwanzia Leo Tena nafuta nyimbo zako zote πππ
WCB povu linawatookaa MAVOKO htk kuingia FREEMASON ndo maan kajitoa
Ndo chakukuonyensh kam anabahatish wcb ndo sehemu ya mziki Wa kimatayifa pia ndo sehemu ya mafanikio ki mziki ulipata habali mbosso kwa myezi 5 kazawadiwa gali na lava lava kwa mwak na siku kazaa
Ondoka ucje nyonywa damu kabsaa
Kwani ww mungu ,mjinga ww unamuita mwenzie mbwa umemzaaa ww mijitu mingine bwana
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
,aje rockstar kina kingkiba
bora wajina wangu mavoco umerudi huko ulijipoteza bure bila kujua
mavoco alianza mziki hata kabla ya wcb kuwepo na alikuwa na ngoma kalia tu kama silali follow me na marry sasa tangu aende hapo wcb akaingia chaka nakupoteza mashabiki
kama unajua mpira mfuate kibakuli ruvu mana ushachoka kuimba
Hhhh kwani uliambia kutangulia ndo kufika wangpi wcb imekuta kweny game na kuwapotez nakuchek san kbsa eti kapitez mashabik wcb ao aliongez masikini maneno ya mkosaji
Wajinga wengi, wewe humtaki cc tunamtaka rich mavoko
Frank tz acha ushoga wanuka ufukala tu msenge wewe
R.i.p
Richard Julius huyo Mavoco kipindi hicho na hizo ngoma Kali kabla ya WCB zilimfikisha wap kimataifa na kimaisha? Zaidi ya kuomba nyumba na gari akiwa WCB.
Hunaa nyotaaa
moto na kasi ya kina #mbosso aiwezi
ili na yy akacheze #mbao_fc
Jose Trend Tz we kweli kilaza kwani lazima kila mtu aweke mambo yake wazi ?? mafanikio ya mtu ni siri yake so unataka kuniambia wasanii wote wcb ngoma zao sina zimetoboa kimataifa ?
ngoja kidogo na yy utamsikia kasajiliwa #mbao_fc
Kama Γ΄te wanauza na kimataifa na mweny hajauz kimataifa yiko njiani na ni lava lava na mbosso
nyie ukwel utaak palepale mavoko ni fund kwelikwel na ameondoka kweny tm ya mashoga wavaa vikuku mafrimason higen mema c kilakit mnashoboka t mtu unatembelea nyota za kuzim et dia anajua kuimba mnaufaham mzik nyie au mnashoboka na manyimbo ya ovyo
anaenda #mbao_fc
Ndugu hii ni sanaa alafu ujui chochote kuhusu music so kaa kimya kam sis tulivyo tulia wee angalia tu mziki mzur uxijikute unajua kushaur wasanii wakat ata kupiga mruzi uwez
Hamad Zeco Abubakari si bora asajiliwe mbao kuliko kuvaa vikuku fakeeen
Yaaan nyie washabik wa WCB ni waseng hamjui game kabsa wangap wanaopga mzik mzur bira ata ya kufikila kujiunga na WCB hao watot wa juzi ndo wawafanye muongee pumba kwel nyie makuzi
Richard Julius we ni Zwazwa unaingia kwenye Mada kama hizi ukiwa na ushabiki maandazi bila kujua sababu ya jamaa kujitoa, sibishani tena na wewe mbulula.
kumbe jitu lenyewe ni likongo mi najua nabisha na mtz mwenzangu nenda kakate viuno huko mziki wa tz huujui ww
Hhhh basi wew unaongea juu yakuongea kam una fata sport uliza molinho anachezesh mupila aliwahi kuuchez Kish utapata jibu la maoni yangu kuhusu mavoko
Utapataaa tabuuu sanaaaa
Futa tu baba wajazeni hao mashoga wenu vikuku boys kweny sim zenu alafu nanyie baadae mkavae shanga za viuno mkatike vizur
Jose Trend Tz mi mwenywe siwezi bishana na chizi kama vipi piga chini
Kwel wcb inaendeshwa ki Freemason na dalili zote zko waz
Na wew ni mjawazimu
#haki_sawa_kwa_kila_mtu
Ndo mana nakwambia hakun fasi nyingin bongo ya mziki kinyum na wcb fasi zote nimesh wezeshw kufik wcb inakubakulik hata uku kwetu akitajw diamond hata mtoto mchang anamufahamu harmonize rayvanny lava lava mbosso hata uyo keng mavok alikuw amesh anz pata jina Kish jichafulia nyota atakula jeuli lake wcb for life mukubali mukatay diamond amesh watawala kimziki
#fuck_all_haters_live_ur_fucking_life
Unaongea kama mwanamke malaya fala ww na rich nan mbwa kama siyo ww we mwanaume bhn kuna na mamb ya kiume
R. I. P
Kieehh jama anatoka na lawama sio powa kwa sababu itamu cost sana
Naona washauri wake walimudanganya
Watu wengine kama mafala alafu we mtoto wa kiume ohooo
Bangi n mziki so marafiki ur lost
Mavoko ni heat kabla ya wcb so shut up.
Utapata tabu sana
Kenge weeee
Daaah sasa watu wengne karanga baho kwl yaan mtu hkujui wala humvishi wala humsaidii chochote afu unaropoka et humpend kwan yy ankjua
ha ha ha ha ha wew wasema maskini wa fikra
Mavoko nakuaminia,chakufanya piga kolabo na Kiba…apo ndo unang’aa mazimaa
π π π kwan wakati anaenda alikuambia anaenda
Af matusi ako..ndo yanamuingzia hela….ndo maana kiba au diamond,wanakaaga kimya
Willyum Dismas nini maana ya Freemason? Jimbuko lake lipo wapi? Unajua misikiti mingapi imejengwa na WcB na hao viongozi wa Dini wanao tumia na wao ni Freemason? Kuna timu za mpira nyingi zina alama ya za ajabu ambazo nazo zina aminika ni za Freemason je wachezaji mashabiki wake ni Freemason? Bado hujui Freemason Nenda kasome vizuri afu utahukumu kabla hujahukumiwa
#BOSS
acha kubwabwaja ww tutajie hyo misikiti walojenga wasanii wko
I trust him Mavoko kwenye game kitambo
English my peopleπππππ use English, it’s the rule number one of roasting
Dogo utapata tabu saana
frank una cheo wcb?au ww ni meneja muajiri pale,unifanyie mpango niwe kamera mani,maana umeongea kwa sauti ya mamlaka
Saw a ila wakati anaingia w c b basata walihusika?
Kwanza nataka kujua je we ni wa kike au wa kiume…πππ
Huyu jamaa #franknyTZ ni kenge sana yan…
nilimsoma wakasema mkataba eake niwakinyonyaji lkn swali langu nije rich mwavoko kweli amenyonywa sababu wakat anaingia mkataba walikubaliana na aliusoma iweje aseme niwakinyonyaji ikiwa aliusoma na akautia saini ila ndio tabia yetu wabongo kuwa tunapenda sana kuonekana fulan kanionea mbona harmonize ray vany lava lava wanaendesha mandinga wote wanapiga show yy tatizo nn so biashara kwake ngumu ila mwache aende najua anataka fiesta ataipata ila cdhani kama atarudi kwapik
Francis ferdinandy dunia ina siri Kubwa ndugu yangu kukuelezea kwa maandixh itakua aitoshi kwaiy jaribu kutenda mema na umuombe San mungu ili uxje kupata majaribu
Ahsante basata Kwa kumu saidia rich
Ungekuwa karibu, Ulistahili kubakwa!!.
Uliyoyaandika yanajitosheleza jamaa mashairi yamemwishia na nyoya piaa aendeee tuuu atuache na WCB yetu ni yetuuu sotee daimaaaa
kuna watu wamemdanganya namama yangu vile kajitoa wcb asubir kuona video zikifikia laki moja view au mbili haiwez kuzid laki tano tupo hapa
All de best mwanangu.. Nenda ukapambane
Aende zake,kama aliona unammyonya kwanini alisaini!? Asituletee kichefu chefu
Pumzika kwa amani
kuna watu wamemdanganya
Daniel Kimaka du!.
Kwan wcb ndo nin wangap wanavma bila hao wcb
kwaiyo unamsauli asaini #mbao_fc
kuna jamaa mmoja juzi alikuwa ananiambia kuwa “vijana siku izi niwavivu wa kupambana kutafuta maendeleo kwa sababu wanaamini kila aliye fanikiwa ni freemasom” #watu_wanapambana