Burudani

Rihanna na Lupita kuigiza filamu ya pamoja

Tarajia kuwaona Rihanna na Lupita Nyong’o ndani ya filamu moja.

Mastaa hao wapo katika mazungumzo ya kuigiza filamu iliyopewa jina la “Netflix” ambayo itaongozwa na Ava DuVernayna mwandishi wake akiwa Issa Rae.

Elizabetch Taylor ndio alianzisha wazo la mastaa hao kucheza katika filamu moja ikiwa ni mwaka 2014 alipost katika mtandao wa Twitter picha ya wawili hao wakiwa wamekaa pamoja kwenye tamasha la Miu Miu fashion show.

“They look like they’re in a heist movie with Rihanna as the tough-as-nails leader/master thief and Lupita as the genius computer hacker,” aliandika Elizabetch. Hata hivyo Rihana na Lupita wote kwa pamoja walionesha kuvutiwa na wazo hilo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents