BurudaniPicha

Rockstar4000 waeleza kwanini Alikiba ameamua kufanya birthday party kubwa mwaka huu

Ni nadra kuona Alikiba akifanya sherehe kubwa kwaajili ya birthday yake.

ac9f62f5-1d1d-4044-877e-38366bb5094e

Lakini mwaka huu muimbaji huyo wa Aje aliamua kufanya kitu tofauti.

0c0acf02-a361-4b13-8255-1ac97a92c1e4

Nimeuuliza uongozi wake sababu ya mwaka huu kufanya sherehe kubwa na tena mbugani. “Yes ni mara chache hufanya party on his birthday,” amesema mmoja wa mameneja wake.

“Aliamua kuja mbugani kwa sababu kuu ni kwa sababu anapenda wanyama pili ni kutumia jina lake kutangaza utalii wa ndani,” aliongeza.

Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali ya mbugani yaliungana na uongozi wake kusherehekea siku yake hiyo muhimu ambayo ametimiza umri wa miaka 30.

Chini ni picha zaidi za party hiyo.

05fdccb7-0f4b-44b7-9579-9c47069b23fb

07e882b5-d2ae-48a6-8b4e-0e9f6d622888

76ca055d-bc10-4330-86db-287304fa6242

28062aa2-4e5c-4bb8-9eeb-a542b8657366

a5f07920-8874-44ab-9527-7cc2f51f74c4

c29bd3cc-c6fd-48eb-9e89-1196c31e6f49

d3250638-fa6f-4688-bf56-4b2dc4878802

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents