Burudani
Roma adai kutekwa ni aibu kwa serikali, atia neno kugombea ubunge
Msanii wa muziki wa hip hop, Roma Mkatoliki wamewata baadhi ya watu kuacha kufikiria kwamba kutekwa ndio kumemfanya arudi kwa jamii na kutoa misaada huku akidai kutekwa sio njia ya kumfunza mtu na ni aibu kwa jamii na serikali kwa ujumla.