Burudani
Roma awatolea uvivu BASATA ‘mnaua sanaa, ubunifu na vipaji. hivi wimbo wa Parapanda una matatizo gani?’
Rapa Roma Mkatoliki ameamua kufunguka na kuweka wazi hisia zake dhidi ya BASATA kwa kudai kuwa wanaua Sanaa, ubunifu na vipaji vya Watanzania.
Roma kupitia ukurasa wake wa Twitter amefunguka hayo na kuwaomba Watanzania waeleze makosa yanayopatikana kwenye wimbo wao mpya na Stamina wa Parapanda.
“BASATA You Are Killing 1. An Art 2. Creativity 3.Talent I don’t Hate The Industry I hate The System!! Hivi Wimbo Wa PARAPANDA Una Matatizo Gani??? Hebu Nisaidie Wewe Mtanzania Mwenzangu!!!!”ameeleza Roma Mkatoliki.
Leo Agosti 6, 2018 Roma na Stamina waliitwa BASATA ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa BASATA kwenye mahojiano Yake mafupi na Bongo5 alisema waliwatembelea tu kujua Sheria na kanuni mpya za baraza hilo.
Hip Hop ni ukweli mtupuuu…
hata ukinikata Damu yangu ni Lowasa mtupuuu. ..
hawa Basata wajipange kuiokoa sanaa …
vinginevyo itakua ndoto na watapata tabu sana.
Hivi hawa basata wanampango gani na sanaa ya bongo!
Hao basata tume wachoka wanauwa muzk wetu mi sitaki hata kuwasikia
Basata Wanataka wacfiwe tu ukiwakosoa shida…… Duuuuuuuu! Atar
BASATA wanazingua sana wanarudisha mziki nyuma na maendeleo ya wasanii kwa ujumla
Huenda wamekatazwa
Hawa basata wamezidi kushusha viwango vya wasanii wetu wapunguze
anaye kumaliza ni yule anae kujua akili kumkichawaa.
Nkwel
Mwe ndo muliwazoweza kuwapigia magoti diamond aliwatolea uvivu mapema mukalalamik eti anajivunia umarufu si wametulia na ngoma zak si walifungulia mukijifany watumw mutaendesh kitumw inabidi mujiamini mana wawo wanafikili kutung mziki ni mzecho kazi yenu
Kwani akuna uwezekano wa wasaani kuungana kupiga kura ya pamoja ili baraza livunjwe na liundwe upya kwa kuzingatia mahitaji ya sanaa ya kizazi kipya
APO UTAKUTA BASATA INATAANZA USENGE
Wape wape vidonge vyao wamezoea
Hatuelewiiiiiii wazushi tu
Kabisa kakaaa kweli wasaniii wanaishi uwani
Mimi Leo ndo nitaupiga huo PARAPANDA siku nzima waje waufungie na kwangu……VIVA ROSTAM,VIVA PARAPANDA
Wanajua kufungia nyimbo tu lakini kuwasaidia wasanii waweze kufika mbali hawawezi
Basata mafala sana
Basata wanafanya kazi kwa kujihami
Wat z BASATA????? Is dat ze fuck** kng baraza 4 dstruction?
Sijakuelewa kwan anae smamia Sanaa ni nan!?!?
Mmmmhh lipo BARAZA ila wasanii wanaish uwani
#parapanda 🚶🚶🚶🚶🚶
mwisho wa mazungumzo yao na basata nini maamuzi ya basata naomba mnijuze
kuna kajimstari kamegusa mtu au
Basata ivunjwe tu. Coz haina mchango kwenye sanaa inaharibu sanaa tu.