Burudani

Romy Jones afunguka kuhusu ndoa ya Diamond na pia tabia ya Tanasha “Mimi ndio msaidizi wa Diamond” (+ Video)

DJ wa msanii wa muziki wa bongo fleva Diamond Pltnumz anayejulikana kwa jina la Romyjones, amefunuka mwanzo mwisho kuhusu ndoa ya Diamond na mchumba wake Tanasha.

Mbali na kuzungumzia hilo pia ameeleza kwanini yeye amekuwa msaidizi wa Diamond (Vice Presdant)

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents