Habari
Rose Muhando apata Mkataba wa Sony Music!
Kwa mara ya kwanza Tanzania, msanii wa Gospel, Rose Muhando amepata shavu kubwa ikiwa ni dili ya kurekodi miziki na kampuni heavyweight duniani ya muziki ya Sony.
Kwa mara ya kwanza Tanzania, msanii wa Gospel, Rose Muhando amepata shavu kubwa ikiwa ni dili ya kurekodi miziki na kampuni heavyweight duniani ya muziki ya Sony.