Michezo

Ruvu Shooting yawapapasa Stand United dimba la Mabatini mkoani Pwani

Klabu ya Ruvu Shooting imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1  – 0 dhidi ya Stand United mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliyopigwa dimba la Mabatini mkoani Pwani.

Msimamo baaa ya Ruvu Shooting kupata ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa leo dhidi ya Stand United, kila timu imebaki kwenye nafasi yake katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents