Mahojiano
S2kizzy “Naisubiria kwa hamu ngoma ya Diamond na Wizkid, Wataenda kukaa namba moja Billboard nimeitengeneza mimi” – Video
Mtayarishaji wa muziki nchini Tanzania, S2Kizzy ambaye ndiye aliyefanya ngoma kadhaa za Diamond ikiwemo Quarantine , Baba Lao na nyinginezo ametutonya ujio wa Collabo kati ya Diamond Platnumz na Wizkid ambayo imepita mikononi mwaka.
S2kizzy alisema “Moja ya nyimbo ninazozisubiria kwa hamu ni Diamond na Wizkid, Wataenda kukaa namba moja Billboard nimeitengeneza mimi”