Safari ya Mourinho ndani ya Manchester United kufikia tamati mwezi wa tisa
Wachambuzi wa mambo wanaamini kikao hicho kinafanana na kile alichofanyiwa meneja, Louis van Gaal katika siku zake za mwisho mwaka 2016 na nafasi yake kuchukuliwa na Mourinho ambaye kwa sasa kunauwezekano mkubwa wa Zinedine Zidane kurithi mikoba hiyo.
Chanzo hicho kutoka ndani ya Manchester United kimesema kuwa ”Muda si mrefu, Jose atatimuliwa wengine wakiamini ataondoka endapo atapoteza mbele ya Burnley na wengine wakiamini hatokuwepo mwanzoni mwa mwezi wa tisa ,” kimesema chanzo hicho.
Inaelezwa kuwa wachezaji nane pekee ndiyo waliyoungana meneja wao, Mourinho kutoka kwenye viunga vya Carrington kwenda kwenye hoteli yao ya the Lowry baada ya kumalizika kwa mechi yao na Spurs wakati wengine wakiamua kuondoka binafsi huku Paul Pogba akitumia gari lake.
Sometimes Wachezaji Nao Wanazingua Kama Game Ya Spurs Jose Asilaumiwe Kabisa.
Hahahaaa anastail kwakwel
Goli aliyokosa Lukaku ni kama ile nafasi aliyopata,Kagere kwny game ya Mtibwa na Simba Kagere akafunga