Michezo
Safari ya Serengeti Boys kuelekea AFCON U17 2019 Tanzania yakwiva (Video+Picha)
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania kwa vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ ikiwa katika mazoezi uwanja wa Karume Jijini Dar es salaam rasmi kujiandaa na fainali za AFCON U17 2019 zinazotarajiwa kufanyika hapa nchini.
Wachezaji wa @SerengetiBoys wakifanya mazoezi leo kwenye Uwanja wa Karume leo. pic.twitter.com/FlhiBdWq7p
— TFF TANZANIA (@Tanfootball) September 5, 2017
Picha za vijana wa Serengeti Boys wakiwa katika mazoezi