Burudani
Salama J alipomnasa Jaffarai kwenye MKASI
Mwanadada Salama J, ameendelea kushika kasi katika kipindi chake cha mkasi na kuwavua watu wengi hasa kutokana na yale maongezi ambayo wanakuwa wakiyazungumza kiundani zaidi ya maisha ya mtu.
Unajua kuhusiana na nini? Hebu angalia moja ya Season yake iliyopita akiwa na Jaffarai.
 {hwdvs-player}id=1684|width=560|height=340{/hwdvs-player}