Burudani
Sallam : Babu Tale alikaa chini baada ya kupigiwa simu na Rais Magufuli (Video)
Meneja Sallam amefunguka jinsi Babu Tale alivyopigiwa simu na Rais Magufuli.
Hayo ameyasema wakati akitoa neno kwenye mazishi ya Shammy yaliyofanyika Mkuyuni, Morogoro.