Michezo

Sanchez kuitumikia Man United kwa mara ya kwanza leo michuano ya FA Cup

Klabu ya Manchester United kwa mara ya kwanza inatarajia kumtumia mshambuliaji wake raia wa chile, Alexis Sanchez katika michuano ya FA Cup pale itakapo kuwa ugenini dhidi ya Yovil katika dimba la Huish Park.

Historia inaonyesha kuwa United mara kadhaa inapokutana na Yovil imekuwa ikifanya vizuri .

Mchezo mwingine wa michuano hiyo ni unaotarajiwa kupigwa hii leo ni timu ya Shifeld Wednesday itakuwa nyumbani kuikabili Reading huku Liverpool watakuwa wakicheza dhidi ya West Bromwich hapo kesho siku ya Jumamosi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents