Habari
Sasa ajali mpaka mtaani
Hakika jambo la ajali sasa hivi limekuwa jambo la kawaida, kuanzia barabara kubwa za kuelekea mikoani, za mjini hivi sasa hadi za mtaani.
Angalia ajali hii ikiwa imetokea mtaani kabisa, kisa gari limeelemewa na mzigo kiasi cha kuanguka.
Hivi kweli tutafika jamani kama ajali tunafanya sehemu ya maisha yetu, hii ilitokea maeneo ya Mabibo makutano njia ya kutokea
Luanga na kuelekea Manzese.