Burudani

Sauti Sol wajitengenezea rekodi mpya Instagram

Hakuna ubishi kuwa Sauti Sol ni kundi linalofanya muziki mzuri Afrika. Ubora wa nyimbo zao ndio umewafanya kiasi ambacho wiki hii wamefikisha followers milioni 1 kwenye mtandao wa Instagram.

Baada ya kufanikiwa kuongeza idadi hiyo, wasanii hao kupitia mtandao wa Twitter wamesherekea kwa kuandika, “#Goodmorning Apparently we’re the first Kenyan musicians to reach a million legit followers on @instagram . Damn it’s hard outchea. ????.”

Kwa hatua hiyo kuna uwezekano mkubwa mpaka sasa kundi hilo ndio likawa la kwanza kuwa na idadi kubwa ya followers katika mtandao huo.

Wasanii hao kwa sasa wapo kwenye ziara ya show zao nchini Ujerumani na Ubelgiji.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents