BurudaniMichezo

Serena Williams atangaza kupumzika kucheza tenesi kwa mwaka mzima

Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake, Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha.

Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema” nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,”

Nyota huyo wa tenesi tayari ametoa taarifa ya kupumzika kwa chama cha mchezo wa tenesi kwa wanawake(WTA).

Serena msimu huu wa 2015 ameshinda mataji ya wazi Australian French Open na lakini haja cheza toka alipofungwa na Muitaliano Roberta Vinci.

Source: BBC

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents