Michezo

Serengeti Boys watinga fainali ya CECAFA kibabe

Vijana wa Serengeti Boys imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya michuano ya CECAFA chini ya umri wa miaka 17 inayoendelea huko nchini Burundi.

Serengeti Boys wamefanikiwa kutinga kwenye hatua hiyo baada ya kuifunga Kenya kwa mabao 2-1 kwenye mchezo huo ambao umechezwa kwenye uwanja wa Muyinga.

Mabao ya Serengeti yamefungwa na Jafar Juma (21) na Kelvin Paul (62).

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents