Habari
Serikali yakanusha taarifa ya kutoajiri wenye miaka zaidi ya 30
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa serikali haitoajiri wananchi wenye miaka zaidi ya 30.
Soma Taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo