Habari

Serikali yakanusha uteuzi wa Wakuu wa Wilaya

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekanusha taarifa ya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya inayosambazwa mitandaoni. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Ikulu, Gerson Msigwa amesema kuwa taarifa hii ni ya uongo hivyo ipuuzwe imetengenezwa na wahalifu.

Soma taarifa kamili:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents