Habari
Serikali yaongeza siku za utoaji leseni za machapisho
Serikali imeongeza muda wa siku 14 kwa wamiliki wa machapisho kupata leseni na baada ya muda huo machapisho hayo hayataruhusiwa mpaka yatakapo kamilisha taratibu na huku ikisema watakao kiuka watakuwa wametenda kosa la jinai.
Soma taarifa kamili: