Habari
Serikali yashusha neema kwa vijana nchini (+video)
Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi, ajira na watu wenye ulemavu, Antony Mavunde amesema kuwa serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu ina programme ya ukuzaji ujuzi nchini ambayo lengo lake kubwa ni kuhakikisha tunaisaidia nguvu kazi yetu hasa vijana wengi kupata fursa ya kujifunza kwa vitendo: