Habari
Serikali yatoa kauli ikikabidhi mwili wa Akwilina kwa wazazi wake (Video)
Serikali kupitia Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Leonard Akwilapo ameukabidhi mwili wa Akwilina Akwilini kwa baba na mama pamoja na ndugu wengine. Mazishi yatafanyika saa tisa jioni.