Habari
Serikali yawasimamisha kazi maafisa waliozembea zoezi la uhakiki wa watumishi hewa
Serikali kupitia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, imewasimamisha kazi Maafisa waliozembea kutekeleza kikamilifu zoezi la uhakiki wa watumishi hewa.
Soma taarifa kamili: