Habari
Shabiki amng’ang’ania Harmonize mguu mbele ya Rais Magufuli kwenye uzinduzi wa Kiwanda (+Video)
Shabiki mmoja amejikuta akishindwa kuzuiya hisia zake na kumng’ang’ania msanii wa muziki nchini Hermonize wakati akitoa burudani mbele ya Rais Dkt John Magufuli.