Habari
Sheikh Kipozeo anavyomkubali Rais Magufuli ‘watu walikuwa wanachota pesa utadhani za watu waliokufa’ (Video)
Sheikh Kipozeo ambaye amekuwa akitoa mawaidha kupitia mihadhara pamoja na mikutano mingi ya dini za kislam, amefunguka kwa kudai kwamba Rais Magufuli anatisha kwani ameweza kuwashika shingoni wote ambao walikuwa anachota pesa za serikali itafikiri mwenyewe wamekufa.