Burudani

Shilole adai atamzalia Nuh Mziwanda watoto wawili

Shilole amedai kuwa mpango wake ni kumzalia mchumba wake Nuh Mziwanda watoto wawili.

10959204_1573850696190644_301022156_n

Muimbaji huyo mwenye watoto wawili wa kike amesema hayo wakati akiongea kwenye kipindi cha The Mboni Show.

“Nitamzalia watoto wawili, nina wawili,” alisema Shilole aliyeongeza na mchumba wake huyo kwenye kipindi hicho kinachorushwa TBC1. Shilole amesema kuwa kadri siku zivyonaenda anazidi kumpenda zaidi Nuh kutokana na mapenzi anayomwonyesha.

Mwaka jana Nuh alimvisha pete mchumba wake huyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents