Burudani

Shilole amtumbua Uchebe ‘feki’

Msanii wa muziki, Shilole amefunguka kumkemea vikali mtu anayetumia jina la mume wake Uchebe bila ridhaa yao kupitia mtandao wa Instagram na kuanza kuichafua familia hiyo mpya.

Shilole na mume wake, Uchebe

Muimbaji huyo ambaye weekend hii alikuwa kwenye sherehe ya ndoa na mume wake huyo, amesema hapendezwi na uchafu unaoandikwa na Uchebe feki akidai unamchafua mume wake.

“Plzzz plzzz nimechoka na huyo uchebe feki walah ananiharibia muonekano wa Mume wangu,” aliandika Shilole kupitia Instagram. “Maana hana maneno haya lol! mashabikI wangu naomba muipuuze hii acount! Acount ya mume wangu ni @uchebe1 hana fans wala nini,”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents