Burudani

Shilole azindua lebo yake ya ‘Shishi Gang’ na kutambulisha msanii, Baba levo msemaji na msanii wake ntamsaini (+Video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @officialshilole siku ya jana alitambulisha lebo yake mpya ya @shishi_gang_family na kutambulisha msanii mpya.

Akiongea na wana habari @officialshilole ameeleza kuwa lebo hiyo hiyo itakuwa inafanya ammabo mengi na sio muziki tu.

Pia ameongeza kuwa katika lebo hiyo @officialbabalevo ndio msemaji wake ingawa hakuwepo “Hata msanii wa @officialbabalevo ntamsaini kwenye lebo yangu tuko kwenye mazungumzo.

Mbali na hilo @officialshilole alitambulisha msanii mpya wa lebo hiyo na kueleza yafuatayo.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents