Burudani

Show ya American Idol kusitishwa rasmi mwakani

American Idol – show maarufu kwa kusaka vipaji vya waimbaji nchini Marekani inatarajiwa kusitishwa.

maxresdefault

Show hiyo ambayo ni baba wa show zote za aina hiyo zikiwemo “The Voice” na “The X Factor” itasimama rasmi mwakani baada ya kumaliza msimu wake wa 15.

“Idol” ilianza mwaka 2002 na katika kilele chake iliwahi kuvutia watazamaji takriban milioni 30 kwa msimu.

Wasanii waliotoka kwenye show hiyo ni pamoja na Carrie Underwood, Kelly Clarkson, Jennifer Hudson, Jordin Sparks, Ruben Studdard, Fantasia Barrino ma Taylor Hicks.

Msimu wa mwisho utaanza January mwakani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents