Michezo
Shuhudia kikosi cha Equarial Guinea kilivyo tinga Uwanja wa Taifa usiku kufanya mazoezi (+video)
Timu ya taifa ya Equarial Guinea imefanya mazoezi yake ya mwisho katika uwanja wa taifa majira ya saa 2 kasoro usiku ikijiandaa kwaajili ya mchezo wao dhidi ya Taifa Stars kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon 2021.