Habari
Shuhudia Waziri Mkuu alivyokutana na Pierre Liquid maonyesho ya Sabasaba, ampa zawadi hii (+Video)
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa alivyotbelea mabanda ya wasanii na kukutana na Pierre Konki pamoja na wasanii tofauti tofauti akiwemo @wolperstylish @zamaradimketema na wengine.
Sikiliza maneno ya Pierre akimwambia Waziri Mkuu.
https://www.youtube.com/watch?v=6RFW0Xo7BCI&t=13s