Burudani
Video: Sifanyi kazi na Team Kiba, mimi ni WCB – Stereo
Msanii wa muziki wa Hip Hop Stereo amedai kwa sasa anafanya kazi chini ya WCB hivyo hawezi kufanya kazi na wasanii wa team Kiba. Rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Mpe Habari’ akiwa amemshirikisha Rich Mavoko, amesema anakuja na kolabo akiwa amemshikisha msanii ambaye watu hawawezi kumfikiria kama atafanya naye kazi.