Burudani

Sijawahi kuwa teja wa dawa za kulevya – Young Dee

Baada ya uliokuwa uongozi wa zamani wa Young Dee ‘MDB’ kudai waliachana na rapa huyo kwa madai ya kurudia kutumia dawa za kulevya, Yound Dee amedai hajawahi rudia kutumia dawa za kulevya huku akidai yeye hakuwahi kuwa muathirika wa dawa za kelevya. Pia rapa huyo amefunguka kuhusu familia yake, uongozi wake mpya pamoja na wazani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents