Kama ilivyokawaida ya mazao yaani ukitaka korosho nenda Kusini huko Lindi, Kilwa na Mtwala na ndivyo muziki yaani ukitaka Hip Hop nenda A Town (Arusha) lakini ukitaka mduara nenda Zanzibar.. Hiki ni kitu kipya kutoka kwa mwanamuziki At pande za Zenji.
Wimbo wake wa Vocha ndiyo kwanza anaanza kuusambaza, ili kujua bao la kete na ‘Bao la kete…Herua.. herua herua..” hebu sikiliza. By Mo
At-Bao la kete
{mmp3}At-baolakete.mp3{/mmp3}