Burudani
Sikiliza wimbo mpya wa Rihanna aliomshirikisha Chris Brown – Nobody’s Business
http://www.youtube.com/watch?v=h3XVJ4ZtahM
Ngoma mpya ya Rihanna itakayokuwa ndani ya albam yake ijayo, Unapologetic, imetinga kwenye shamba huria la mtandaoni (internet) jana. Hii ni mara ya tatu wapenzi hao wa zamani wamefanya kabla tangu Chris ampige Rihanna mwaka 2009. Ni ngoma fulani hivi ambayo ukiisikia unaweza kuhisi ni zile nyimbo za miaka ya 70 ama 80.
Enjoy.