Habari
Siku ya michezo Miss Tanzania
Leo ilikuwa siku michezo wa Mamiss wa Tanzania iliyofanyika kwenye Hoteli, ya Jangwani Se Breeze kwajili ya kumtafuta mshindi katika medeli ya michezo kwa mamisi hao ambao walikuwa wakishana kwenye michezo mbalimbali ikiwemo kukimbi mbio, kukimbia kwenye gunia, mpira na kila aina ya mchezo ilikumpata mchezaji bora.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za ushiriki wa mamisi hao katika michezo mbalimbali.
Mwisho alifunga mzee Mzima Lundenga katika kuruka kwa chini.