Michezo

Simba Bingwa 2019/20, ikiwa bado ina ‘Game’ 6 mkononi

Timu ya Simba SC imefanikiwa kutetea taji lake la ubingwa wa Ligi Kuu Tanznaia Bara (VPL) ikiwa bado na mechi sita mkononi baada ya kutoka suluhu na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa leo na kufikisha pointi 79 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote kwenye msimamo wa ligi. .

Huu ni ubingwa wa tatu mfululizo kwa Simba baada ya kufanya hivyo pia katika misimu miwili iliyopita 2017/18 na 2018/19. .

Huu ni ubingwa wa tatu mfululizo kwa #simbasc baada ya kufanya hivyo pia katika misimu miwili iliyopita 2017/18 na 2018/19. .

Mnyama #simbasc anafanikiwa kulitetea taji la Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutoka sare tasa ( 0 – 0 ) mbele ya wenyeji, Tanzania Prisons katika mtanange uliofanyika Dimba la Sokoine.

SIMBA SC BINGWA KWA MARA YA TATU MFULULIZO
2017/2018 🏆🏅🏅
2018/2019 🏆🏅🏅
2019/2020 🏆🏅🏅

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents