Simba Bongo Movie yaonyesha ubabe
Wasanii wa Bongo Movie, ijumaa hii walikuwa kwenye mazoezi ya timu yao kwaajili ya kujiandaa na kandanda ambalo watakuja kucheza na Wabunge siku ya jumamosi ijayo, huko Dodoma.
Katika mechi hiyo wadau wa Bongo MovieMama Rupia, na Mussa ambao walitoa mchango wao na kufikia zaidi ya milioni2,papo kwa hapo kwaajili ya maandalizi mazima ya safari hiyo.
Katika mechi hiyo, timu ambayo wakereketwa wa Simba yaani Simba Bongo Movie, iliibuka na mabao mawili yaliyoingizwa nyavuni na Hassabi Kiduku, na bao la kufutia machozi lilifungwa na Vicent Kigosi maarufu kama Ray kwa mkwaju wa penati.
Tino akiwa na wachezaji wenzake wakipata hutuba kidogo, kabla ya kurudi tena uwanjani kwa kipindi cha pili
Stive Nyerere akihesabu, dola ambazo zinathambani ya fedha za kitanzania milioni 1.5, ambayo ilitolewa na mdau wa Bongo Movie, Mussa.
Mama Rupia, akikabidhi kombe kwa timu ya kapteni wa Simba Bongo Movie, ambayo iliinyuka Yanga Bongo Movie 2-1
Viongozi wa Simba Bongo Movie, William Mtitu na Jb
Huyu anaitwa Auntiel Ezikiel, akiwa haamini kama wamefunga