Michezo
Video: Simba hali yake ni mahututi, amepigwa goli 10 kwa 1, atapigwa na Yanga 5 – RC Ally Hapi
Sikia tambo za Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela akipingana na bosi wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi kuelekea mtanange wa #WataniWaJadi Yanga na Simba Jumamosi wiki hii.
https://www.facebook.com/azamtvtz/videos/474284663108190/Source: Azam TV