Michezo
Simba kutupa karata yake ya kwanza KAGAME Cup leo
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC inatarajia kutupa karata yake ya kwanza hii leo kwenye michuano ya KAGAME pale itakapo ikabili klabu ya Dakadaha majira ya saa 8 mchana kwenye dimba la Uwanja wa Taifa.
Ratiba kamili ya Simba kwenye michuano hiyo ambayo imeanza kutimua vumbi hapo jana siku ya Ijumaa ya Juni 29.