Michezo

Simba yapangwa kundi la kifo Champions League, wapo Al Ahly, Al- Merrikh, Namungo angalau

Mabingwa wa nchi #simbasc wamepangwa kundi A katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika

Kundi A

Simba SC Tanzania
Al – Merrikh Sudan
AS Vita Club DRC
Al Ahly SC Misri

Yapi maoni yako baada ya kuona group hili ambalo lina wawakilishi wa Tanzania #simbasc

Kombe la Shirikisho Afrika.. Primero De Agosto (Angola) vs Namungo FC (Tanzania).  Mechi kuchezwa kati ya February 12/13.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAf)

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents