Habari
Simbachawene amrithi Kangi Lugola Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (+Video)
Rais Dkt John Magufuli amemteua Mhe. George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akichukuwa nafasi ya Kangi Lugola ambaye uteuzi wake umetenguliwa kuanzia leo tarehe 23/01/2020 huku Mhe. Mussa Azzan Zungu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) akichukua nafasi ya Mhe. Simbachawene.