Singida United Vs Mbeya City zaweka hadharani silaha za maangamizi
Klabu za Singida United na Mbeya City zimetangaza vikosi vyao vitakavyoingia Uwanjani na kukabiliana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mzunguko wa 11.
Kikosi cha Singida United
Singida itashuka dimbani katika Uwanja wao wa Namfua Stadium huku ikiwa na kumbukumbu nzuri ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Lipuli FC wakati wapinzani wao Mbeya City wakipigwa kipigo cha mabao 5-0 mbele ya Yanga SC katika mchezo uliyopita.
Kikosi cha Mbeya City
Kikosi cha Singida United 25/NOVEMBER/2017*
1.Manyika Jr
2.Michel Rusheshangoga
3.Shafik Batambuze
4.Elisha Muroiwa
5.Kennedy Juma
6.Yusuph Kagoma “Mhabeshi”
7.Elinyesia Sumbi “Msingida”
8.Mudathir Yahya
9.Kigi Makasi
10.Dany Usengimana
11.Atupele Green
Wachezaji waakiba
1.Barthez
2.Miraj Adam
3.Kipaga
4.Salum Chuku
5.Msonjo
6.Nizar Khalfan
Kocha wa timu, Hans Van Der Pluijm
Mechi 5 za kumaliza Round ya 1 Ligi Kuu Tanzania Bara 2017/2018.